Content removal request!


KAULI YA KICHUYA BAADA YA SIMBA KUIFUNGA NAMUNGO 1-0

Mara baada ya mchezo wa Simba SC dhidi ya Namungo FC kumalizika kwa Simba SC kupata ushindi wa goli 1-0, tuli pata nafasi ya kuongea na Shiza Kichuya wa Namungo FC ambaye amesikitishwa na matokeo ya mchezo huo.