Content removal request!


MASHABIKI WA SIMBA WAKISINDIKIZA GARI BAADA YA MECHI

MASHABIKI WA SIMBA WAKISINDIKIZA GARI BAADA YA MECHI Ni kama Simba wanawaambia wapinzani wao 'Soma hiyooo' baada ya leo kumefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Nkana FC ya Zambia katika mchezo wa marudiano uliochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mashabiki wa klabu hiyo walishhindwa kuzuia hisia zao na kuamua kusukuma gari lililobeba wachezaji wa klabu hiyo hadi nje ya eneo la uwanja. #SIMBAVSNKANA #MKUDE Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK https://www.youtube.com/watch?v=L4UGw.