Content removal request!


KOCHA BENIN Amtaja SAMATTA Baada ya USHINDI DHIDI YA TANZANIA, Waondoka KIBABE...

Ni mchezo wa kwanza Stars kupoteza katika kundi J na wanapoteza pointi tatu mazima ikiwa Uwanja wa nyumbani mbele ya mashabiki wake. Kwenye msimamo sasa ipo nafasi ya tatu ikiwa na pointi nne na vinara ni Benin wenye pointi 7.