Content removal request!


KICHUYA Aimwagia SIFA SIMBA Kuifunga AL AHLY, Atoa KAULI ya KIBABE Kuhusu NAMUNGO KUFUZU...

KICHUYA Aimwagia SIFA SIMBA Kuifunga AL AHLY, Atoa KAULI ya KIBABE Kuhusu NAMUNGO KUFUZU... KIKOSI cha klabu ya Namungo leo kimefanikiwa kutinga hatua ya Makundi ya kombe la Shirikisho Afrika, licha ya kupokea kipigo cha mabao (3 - 1) kutoka kwa Club Desportivo 1º de Agosto ya Angola. Namungo wamefanikiwa kutinga hatua hiyo kwa matokeo ya jumla ya ushindi wa mabao 7-5, kufuatia ushindi wa mabao (6 - 2) walioupata katika mchezo wa kwanza uliopigwa Februari 21, mwaka huu. Namungo sasa inajiunga na timu za Raja Club Athletic ya Morocco, Pyramid FC ya Misri na Nkana FC ya Zambia kukamilisha timu nne za kundi D la michuano hiyo. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline