Dewji Asema Hao TP Mazembe wanafungika kabisa huko kwao.
Hata hao wanaobeza penalti ya John Bocco watambue Simba hii ni moto wa kuotea mbali na usishangae kuona mpira umetangulia Lubumbushi na wachezaji wanakwenda kumalizia kazi #DreamOnlineTv #Simba #TPMazembe