Content removal request!


MKUDE Nje Kikosini Kuivaa Lipuli FC Kisa Hiki Hapa

MKUDE Nje Kikosini Kuivaa Lipuli FC Kisa Hiki Hapa Kiungo wa klabu ya Simba, Jonas Mkude, ataukosa mchezo wa Simba dhidi ya Lipuli FC utakaopigwa mjini Iringa Aprili 21 2018, Jumamosi ya wiki hii. Mkude atakosekana katika mechi hiyo sababu atakuwa anatumikia adhabu ya kadi tatu za njano ambazo kwa mujibu wa kanuni, mchezaji hukosa mechi moja inayofuatia pindi anapofikisha idadi hiyo ya kadi. Simba itasafiri kuelekea Iringa wiki hii kwa ajili ya mchezo huo utakaopigwa Uwanja wa Samora. Kikosi hicho kitakuwa kinacheza na Lipuli kikiwa na harakati za kuwania ubingwa wa ligi ambao umekosekana Msimbazi kwa takribani miaka mitano. Install #GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe http://www.youtube.com/c/uwazi FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe http://www.youtube.com/c/uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… http://www.youtube.com/c/uwazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... T