Content removal request!


UONGOZI WA Simba wagomea waamuzi wa CAF

KUTOKANA  na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) kufanya mabadiliko ya waamuzi wa mchezo wa Ligi ya Mabingwa hatua ya robo fainali kati ya TP Mazembe na Simba uongozi wa Simba umeandika barua kwa Caf.#DreamOnlineTv #Tanzania #Simba