Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Simba juzi Jumamosi walikutana na kichapo hicho kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika Hatua ya Makundi ukiwa ni mchezo wa Kundi D. Hiki ni kichapo cha pili kwa Simba wanapokea kwa kufungwa mabao 5-0 msimu huu kwenye hatua hiyo, baada ya wiki chache kufungwa na AS Vita Club ya DR Congo. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars