Kumekucha, BURUNDI Watua BONGO, Wafunguka "HATUWAOGOPI TAIFA STARS" KIKOSI cha timu ya taifa ya Burundi kimewasili salama katika ardhi ya Tanzania kikitokea kwao Burundi. walipokuwa wamekwenda kucheza na Burundi katika mechi ya kutafuta tiketi ya kushiriki kombe la dunia... Kikosi hicho kinatarajia kuumana tena na timu ya Taifa ya Tanzania (TAIFA STARS) katika dimba la Taifa jijini Dar, Baada ya mchezo wa awali kumalizika kwa sare ya bao (1-1).. Mechi ya marudiano na Burundi inatarajiwa kuchezwa Jumapili ya Septemba 08, katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, #TanzaniaVSBurundi https://www.youtube.com/playlist?list... https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho