Content removal request!


HIGHLIGHT SIMBA VS AZAM FC 1-2 KAGAME CUP

HIGHLIGHT SIMBA VS AZAM FC 1-2 KAGAME CUP TIMU ya Azam FC imefanikiwa kutetea taji lake la Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, maarufu kama Kombe la Kagame baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Simba SC jioni ya leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Shujaa wa Azam FC hii leo alikuwa ni Nahodha na beki, Aggrey Morris Ambroce aliyefunga bao la ushindi dakika ya 80 kwa shuti kali la mpira wa adhabu kutoka umbali wa mita 30, baada ya kumchungulia kipa Deogratius Munishi ‘Dida’. Katika mchezo huo uliokuwa mkali na wa kusisimua, Azam FC ilitangulia kwa bao la mshambuliaji wake hodari, Shaaban Iddi Chilunda dakikaya 33 ambaye leo alikuwa anacheza mechi ya mwisho kabla ya kwenda kuanza kuutumikia mkataba wa mkopo Tenerife ya Daraja la Kwanza Hispania. Install GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe http://www.youtube.com/c/uwazi FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe http://www.youtube.com/c/uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… http://www.youtube.com/c/uwazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari INSTAGRAM: https://www.instagram.com/globalpubli..