Ligi kuu Tanzania bara VPL imeendelea katika viwanja vitano 11/3/2018 ambapo imeshuhudia Azam ikipanda hadi nafasi ya Pili kwa point 44 nyuma ya Simba na kuipiku yanga itakayocheza Jumatatu 12/3/2018 pia EPL,Arsenal imeshinda mchezo wake dhidi ya wigan3-0