Kikosi cha Azam FC kimerejea leo mchana jijini Dar es Salaam kikitokea mkoani Mbeya, kikiwa safi kabisa baada ya jana kuichapa Mbeya City bao 1-0 lililofungwa na beki Yakubu Mohammed. #WeAreAzamFC #TimuBoraBidhaaBora #AfricanFrutiImenogaFresh #UhaiDrinkingWater #TradegentsTanzaniaLimited