Content removal request!


Dismas Ten: Tumejipanga Kuwafunga Mwadui Kesho Taifa

Timu ya Yanga Kesho inacheza na Mwadui Fc kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar mchezo wa Ligi Kuu Bara. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Ofisa Habari wa Yanga, Dismas Ten amesema taarifa za uzushi ambazo zinasambazwa juu ya Makambo kwamba ameondoka Yanga hazina ukweli wowote zinapaswa zipuuzwe. "Herieter Makambo alisafiri kwenda Congo, alisafiri kwa mapumziko mara baada ya mchezo dhidi ya Mbeya City kama ambavyo mwalimu alitoa mapumziko kwa wachezaji wengine, sio kweli kwamba ameondoka ndani ya timuila bado hatujaua ana tatizo gani alilolipata. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars