Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MABINGWA watetezi, Simba SC wamepata ushindi wa kishindo baada ya kuichapa 5-1 Alliance FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Kocha wa simba Patrick Aussems amekifagilia kikosi chake kwa kufanya vizuri huku akitamba kuwa na wachezaji bora. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars