Content removal request!


MORRISON, BANDA Walivyokiwasha MAZOEZI ya SIMBA KUELEKEA KUIVAA JWANENG GALAXY...

Simba wameendelea na Mazoezi yao kuelekea mchezo wao wa marudiano Dhidi ya Jwaneng galaxy utakaopigwa Jumapili ya Oktoba 24 katika dimba la mkapa Jijini Dar es Salaam.