Content removal request!


"SIMBA ni MABINGWA, CHAMA Ana UMUHIMU Wake, TULIAMUA Leo Lazima TUSHINDE" - ASHA BARAKA

"SIMBA ni MABINGWA, CHAMA Ana UMUHIMU Wake, TULIAMUA Leo Lazima TUSHINDE" - ASHA BARAKA DAKIKA 90 za mtanange wa ligi kuu kati ya SIMBA vs MWADUI FC zimemalizika kwa Mnyama kumaliza hasira zake kwa kuwachapa wachimba madini hao (5-0).... Mtanange huo umechezwa katika dimba la Uhuru jijini Dar, leo Oktoba 31, ambapo mabao ya Simba yamewekwa kimiani mawili na nahodha, John Bocco, mengine wamefunga Hassan Dilunga, Said Ndemla na Ibrahim Ajib... Baada ya matokeo hayo mashabiki wa Simba wameonekana kufurahi mno, kutokana na kwamba mechi mbili mfululizo zilizopita Simba wamekuwa wakipoteza hivyo kipigo walichokitoa kwa Mwadui ni kama kimewafuta machozi mashabiki wao... ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline