Content removal request!


Gor Mahia wacheza mechi ya kwanza chini ya kocha mpya

www.ktnkenya.tv Kulikuwa na mechi moja ya ligi kuu juma tanokwenye ligi kuu ya primia hapa nchini kati ya vilabu viwili vinavyopata wakati mgumu kwenye ligi kuu, Gor Mahia dhidi ya Mathare United. Ilikuwa ni mechi ya kwanza kwa kocha mpya wa Gor Mahia kutoka Croatia Lugasuric.