Content removal request!


SIMBA Waja na KAULI MBIU Hii Kuelekea MECHI Dhidi ya Galaxy 'IT IS NOT OVER Kazi Iendelee'

Simba wanatarajia kucheza mchezo wao wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Dhidi ya Jwaneng galaxy ya Nchini Botswana Jumapili ya Oktoba 24 katika dimba la Mkapa Jijini Dar es Salaam huku wahamasishaji wake wakijitamba kuelekea mchezo huo..