Content removal request!


USAJILI: MIQUISSONE KUTUA AL AHLY DAU LA BILIONI 2

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars KAMA ulikuwa unahisi ni utani basi jua kuwa Klabu ya Al Ahly wapo siriazi katika ishu ya usajili wa winga wa timu hiyo Luis Miquissone ambapo tayari klabu hiyo imewasilisha ofa ya pili ya Sh bilioni 2 za Kitanzania kwa mchezaji huyo huku mwenyewe akikubali kujiunga na miamba hiyo ya Misri. Al Ahly kwa muda mrefu wamekuwa wakitajwa kuiwania saini ya Luis raia wa Msumbiji ambaye tangu ajiunge na Simba Januari 2020, amekuwa kwenye kiwango bora kinachozifanya klabu mbalimbali kumuwania HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars