Content removal request!


NI PIGO TENA SIMBA, BEKI TEGEMEO NJE WIKI MBILI, KUIKOSA TP MAZEMBE

Beki Wawa ameichezea Simba katika michezo yote ya Ligi ya Mabingwa kabla ya kuumia dhidi ya TP Mazembe, Inawezekana kabisa kuwa ni pigo kubwa kwa klabu ya Simba ambapo mchezaji wake kutoka Ivory Coast, Serges Wawa, atakuwa nje ya dimba kwa muda wa wiki mbili. #DreamOnlineTv #TPMazembe #Simba #Wawa