Usisahau ku-subscribe, ku-share, ku-comment na ku-like... UFAFANUZI Kuna mahala Mzee wa Data ameteleza kwa kusema kuwa Pyramids wakitwaa ubingwa CAFCL wataongeza pointi 6 katika 42 walizo nazo sasa na kufikisha pointi 48. Usahihi ni kwamba wataongeza pointi 5 tu na kufikisha pointi 47 na siyo 48. Hivyo, Pyramids hawawezi kuiporomosha Simba kutoka nafasi ya 5 waliyopo sasa hata kama watatwaa ubingwa wa CAFCL kwa sababu Simba tayari wana pointi 48 il-hali (wao) Pyramids watatimiza pointi 47 tu endapo watatwaa ubingwa katika fainali yao dhidi ya Mamelodi. By Mhariri - Mbwaduke Stats "Spoti Next Level"
#football #africanfootball #simba #yanga #soccer #arsenal #tff #chelsea #barcelona #realmadrid #singidabigstars #mamelodisundowns #kaizerchiefs #azamtv #azamfc #mbeyacity #coastal #mbwaduke
#football #simba #soccer #arsenal #liverpool #yanga #azamfc #mbwaduke UFAFANUZI Kuna mahala Mzee wa Data ameteleza matamshi. Ni kwamba AS FAR RABAT walipiga pasi 364 na siyo 264, huku zilizofika zikiwa ni pasi 283. Kumradhi! By Mhariri - MBWADUKE STATS 'Spoti Next Level'
#football #simba #yangasc #soccer #tff #africa #mbwaduke #wasafitv #crownfm
#football #simba #tff #soccer #africa #azamtv #azamfc #yanga #wasafi #crownfm #bbc #laliga #bundesliga #epl
#football #soccer #simba #tff #africa #azamtv #bbc #tanzania #tbc1 #southafricanfootball #diamond #namungofc
Usisahau ku-subscribe, ku-share, ku-comment na ku-like...