Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Mwamuzi kiboko wa Yanga, Martin Saanya amekabidhiwa kuchezesha mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba Jumapili Machi 8, ijayo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga wamekuwa na bahati mbaya na mwamuzi Saanya tangu alipoanza kuchezesha Ligi Kuu Tanzania Bara mara kadhaa wamekuwa wakikwaruzana kutonaka na matukio ya uwanjani. Mwamuzi Saanya mwaka 2009 alikuwa wa akiba wakati Yanga ilipotoka sare na Simba, lakini mwaka 2013 Simba ilipolala mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Taifa ndiye aliyechezesha. Hata hivyo, Saanya aliingia kwenye mzozo na Yanga baada ya kutoa penalti kwa Coastal Union kwenye dakika za lala salama na mechi kumalizika kwa sare ya bao 1-1 kwenye msimu wa 2012/13, jambo ambalo liliifanya Yanga kumchukia na kukosa imani naye. Saanya alifungiwa na Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) mwaka mzima kwa kushindwa kumudu mechi hiyo ambayo ilisababisha mashabiki wa Yanga kuharibu mali za Uwanja wa Mkwakwani pamoja na basi la Coastal Union. Kabla ya mchezo huo, mwamuzi huyo alikuwa akituhumiwa na mashabiki wa Yanga kwamba aliibeba Simba kwenye mechi ya hisani dhidi ya Azam. Simba ilishinda mabao 3-2 huku Azam wakidai kunyimwa penalti mbili za wazi. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars
USAJILI WA PACOME KUJA SIMBA, AHMED ALLY AFUNGUKA UKWELI WOTE, TSHABALALA ANAKWENDA YANGA? : : SIMBA NA YANGA MECHI YA DERBY DERBY YA KARIAKOO KUFUNGWA KWA KANISA LA GWAJIMA JOSEPHAT GWAJIMA MBUNGE WA KAWE MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA RAIS SAMIA SULUHU JAKAYA KIKWETE WAZIRI MKUU MAJALIWA CCM DODOMA FAINALI YA BERKANE VS SIMBA UWANJA WA AMANI ZANZIBAR WAARABU MOROCCO WAIPIGIA SALUTI SIMBA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA #shorts #viralshorts #simbasc #simbavsrsbeekane #amanizanzibar #uwanjawaamani #benjaminmkapa #eliempanzu #yanga #yangasc #cafchampionleague #cafconfiderationcup #rsberkane #uwanjawamkapa #simbavsyanga #millardayo #globaltvonline #ayomatv #jambotv #wasafi #wasafitv #wasafimedia #wasafifm #ahmedally #cloudsfm #jeancharlesTelegram: Karibu upate Habari za uhakika hapa Champion Habari Habari za Siasa | Kijamii | Michezo | Burudani na Uchambuzi. WASILIANA NASI +255 655 100 695 Email: championhabari@gmail.com Follow us Instagram: championhabari Instagram:https://www.instagram.com/champion_habari?igsh=MXF5aWNqaWFqdXVjbA==
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Mchezo wa kilele cha Wiki ya Mwananchi kati ya wenyeji Young Africans SC dhidi ya vigogo ...
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: ...
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: ...
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika ...