Leo Oktoba 5,2023 Tanzania Prisons wanashuka Dimba la Kumbukumbu ya Sokoine,Jijini Mbeya kumenyana na Mnyama Simba SC ,Mchezo wa ligi kuu ya NBC,Unaopigwa Saa 10:00 Jioni.
Leo Juni 14 Ally Kamwe,Kibwana,Job, na kamati nzima ya Wape Tabasamu wamezungumza kuelekea Mchezo wa Wape Tabasamu 2024 ambao utapigwa Mkoani Morogoro ukikutanisha Timu Kibwana Dhidi ya Timu Dickson Job kwenye Uwanja wa Jamhuri
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.