BARAKA MPENJA AMVULIA KOFIA AZIZ KI/"ANA MGUU WA DHAHABU/FEITOTO ALIKUWA BORA SANA. by @Mpenja TV - Post Details

BARAKA MPENJA AMVULIA KOFIA AZIZ KI/"ANA MGUU WA DHAHABU/FEITOTO ALIKUWA BORA SANA.

Hii leo Tarehe 23 mwezi October ni derby ya Dar es Salaam inayo wakutanisha Yanga Sc dhidi ya Azam Fc katika dimba la Benjamin Mkapa majira ya saa kumi na mbili na nusu jioni. Matukio yote muhimu kuhusu mchezo huu wa Ligi kuu ya NBC utayapata kupitia Mpenja Tv kabla na hata baada ya mechi.

Similar Posts!