Alichokisema Manara kuhusu kuondoka Yanga baada ya Wazee wa Yanga kumfukuza Yanga sababu ya Usaliti "Now naweza kufanya kazi zangu bila Presha yoyote,,kundi hili nnalofanya nalo kazi Kwa sasa wala situmii nguvu kubwa,,,ni kuwakumbusha tu !! Angalia siku ya Wananchi,,wala hawakuhitaji kituo kizima cha Redio kifanye Promo ya Mechi wala hawakuhitaji Wasanii hadi waende matawini kuhimiza Washabiki,,,, Hawa ni Die hard fans wa Mabingwa mara 27 wa Taifa hili Adhimu,,,,najivunia kuwa sehemu ya wafuasi wa club hii,,,always ntawatumikia Kwa weledi mkubwa Press moja na media tour ktk vituo viwili wamejaa kibao.. Yanga Africa Wallah mnanipa raha na mtaifanya kazi yangu kuwa very Simple,,,kule Kwa Makolo hadi mishipa ya Shingo ilikuwa inataka kukatika... Sijui nilichelewa wapi kujiunga na club hii ya Moyo wangu." Maneno ya Manara #simbasc #hajimanara #yangasc #usajilisimbasc #usajiliyangasc #usajili #dirishakubwalausajili #azamtv #fifa #cas #modewji #hajimanara #yusuphmanji #usajli #kikosichasimbaleo #simbaleo #ligikuutanzania #simba #usajiliyangasc #yanga #ligikuu #tanzania #simba #yangaleo #usajilisimbaleo #ligikuu #chama #miquissone #kisinda #mukoko #caf #tff #SIMBASC #YANGASC #SIMBA #LIGIKUUTANZANIA #ligiyamabingwaafrica #Africa #tanzania
SIMBA Watoa Tamko Zito Muda Huu Kuhusu KUVUNJA MKATABA wa MCHEZAJI Huyu WAKIMATAIFA, Sababu Zatajwa
Alichokisema BEKI Kitasa WILSON NANGU Athibitisha KUSAJILIWA SIMBA Dirisha Kubwa la Usajili 2025
Alichokisema FEISAL SALUM "FEI TOTO" Athibitisha KUSAJILIWA Timu Hii Kubwa, Aitaja SIMBA, YANGA JE?
Alichokisema FEISAL SALUM "FEI TOTO" Athibitisha KUSAJILIWA Timu Hii Kubwa, Aitaja SIMBA, YANGA JE?
Alichokisema ELLIE MPANZU Atoa Tamko Zito Kuhusu Kuondoka SIMBA SC Dirisha Kubwa la Usajili
Kikosi cha Yanga Kinachoanza Leo Dhidi ya Singida Black Star Mechi ya Fainali Kombe la CRDB 2024/25