Leo Mei 3 2023, katika Dimba la Majaliwa Ruangwa Mkoani Lindi inapigwa Mbungi ya Ligi kuu ya NBC kati ya Wauaji wa kusini,Namungo FC na Mnyama,Simba SC,Saa Moja Jioni . Mpenja TV tunakuletea Taarifa zote kabla na baada ya Mbungi hiyo
Leo Juni 14 Ally Kamwe,Kibwana,Job, na kamati nzima ya Wape Tabasamu wamezungumza kuelekea Mchezo wa Wape Tabasamu 2024 ambao utapigwa Mkoani Morogoro ukikutanisha Timu Kibwana Dhidi ya Timu Dickson Job kwenye Uwanja wa Jamhuri
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.