AHMED ALLY "MAMBO YANAZIDI KUWA MAGUMU KWA UPANDE WETU/MWENYE KUKATA TAMAA AKATE/KICHUYA KABUNDA.. by @Mpenja TV - Post Details

AHMED ALLY "MAMBO YANAZIDI KUWA MAGUMU KWA UPANDE WETU/MWENYE KUKATA TAMAA AKATE/KICHUYA KABUNDA..

Leo Mei 3 2023, katika Dimba la Majaliwa Ruangwa Mkoani Lindi inapigwa Mbungi ya Ligi kuu ya NBC kati ya Wauaji wa kusini,Namungo FC na Mnyama,Simba SC,Saa Moja Jioni . Mpenja TV tunakuletea Taarifa zote kabla na baada ya Mbungi hiyo

Similar Posts!