DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO – AZAM TV 24/10/2019 by @Azam TV - Post Details

DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO – AZAM TV 24/10/2019

• Mahakama yasema kuolewa ni miaka 18 • Ndugai awaweka ruho juu wabunge • Chadema yaja na upepo wa kisulisuli • Yanga yatamba kuifunga Pyramids • Simba, Azam zatembeza ubabe uwanja wa Taifa #MorningTrumpet #AzamTVUpdates #AzamTVApp #AzamTV #AzamTWO #AzamTVHabari #Habari #UTV #UFM

Similar Posts!

Yanga SC 0-0 Simba SC | HIghlights | NBC Premier League 01/03/2026
Yanga SC 0-0 Simba SC | HIghlights | NBC Premier League 01/03/2026

KARIAKOO DERBY | Imepigwa dabi moja ya maana sana kwenye Dimba la Amaan, Zanzibar, Yanga na Simba wakimaliza dakika 90 bila bao, lakini burudani za kutosha. Hii ni mechi ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania



Yanga SC 5-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 25/02/2026
Yanga SC 5-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 25/02/2026

Yanga SC imeichakaza JKT Tanzania mabao 5-0 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa leo kwenye Dimba la KMC Complex, Dar es Salaam. Wafungaji wa magoli haya ni Mohamed Hussein Zimbwe Jr,, Aurellio Depu, Mudathir Yahya, Prince Dube na Shekhan Ibrahim.



Kuwait 4-3 Tanzania | Highlights | Mechi ya Kirafiki 15/11/2025
Kuwait 4-3 Tanzania | Highlights | Mechi ya Kirafiki 15/11/2025

Ni mechi ya kirafiki ya kalenda ya FIFA iliyopigwa kwenye Dimba la Al Salaam, Cairo nchini Misri, na timu ya taifa ya Tanzania #TaifaStars kuchwa 4-3 na Kuwait. Magoli ya Tanzania yamefungwa na M’mombwa 6’, 87’, na Taryin Allarakhia 34’ huku ya Kuwait yakitoka kwa Daham 46’, 52’ Nasser 63’ na Hamdan 69’



Maximo asema Brazil, Argentina ni mahasimu ndani ya uwanja
Maximo asema Brazil, Argentina ni mahasimu ndani ya uwanja

KMC vs SINGIDA BS: Kocha Marcio Maximo wa KMC, amesema mataifa ya Argentina na Brazil ni wapinzani ndani ya uwanja, ...



KIPYENGA CHA MWISHO 18/09/2025 | Uhalali wa goli la Yanga vs Simba, Ngao ya Jamii 2025
KIPYENGA CHA MWISHO 18/09/2025 | Uhalali wa goli la Yanga vs Simba, Ngao ya Jamii 2025

KARIAKOO DEEBY | Fahamu ukweli kuhusu matukio yote yaliyozua utata kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga na Simba uliopigwa Septemba 16, 2025. Moja kati ya matukio yaliyozua gumzo ni goli pekee walilofunga Yanga na kuamua mshindi wa Ngao ya Jamii 2025. Osman Kazi na jopo lake wanamaliza utata kwa kutumia sheria na kanuni za soka



Wadi Degla 0-2 Simba SC | Kocha Fadlu ataka Jayruty wafanye unyama, Kibu D afunguka
Wadi Degla 0-2 Simba SC | Kocha Fadlu ataka Jayruty wafanye unyama, Kibu D afunguka

KUTOKA CAIRO MISRI: " ....msimu huu tunahitaji kuwapiku Yanga" Baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Wadi Degla FC inayoshiriki ligi kuu ya nchini humo, Kocha wa Simba, Fadlu davids anaeleza baadhi ya mambo ambayo ameridhika nayo, na maeneo ambayo bado ana kazi ya kufanya.... Kuhusu kikosi chake, Kocha Fadlu anasema bado wanahitaji angalau mchezaji mmoja mwenye kitu cha ziada (X-Factor) atakayewaongezea kitu hasa kwenye michuano ya kimataifa pamoja na mbio za ubingwa wa #NBCPremierLeague msimu ujao wakilenga kuwa juu ya Yanga ... Fadlu anasema anaamini mdhamini wao upande wa jezi, 'Jayruty', atalimaliza hilo.... Naye mfungaji wa moja kati ya magoli mawili ya Simba, Kibu Denis anazungumza machache kuhusu maendeleo ya kambi nchini Misri.... Patrick Nyembera anakuja na taarifa kamli kuhusu mchezo huo... #SimbaSC #SimbaEgypt #SimbaPreSeason



Rayon Sports 1-3 Yanga SC | Highlights | Mechi ya Kirafiki | Rayon Sports Day 15/08/2025
Rayon Sports 1-3 Yanga SC | Highlights | Mechi ya Kirafiki | Rayon Sports Day 15/08/2025

Yanga SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Rayon Sports, katika mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye Dimba la Amahoro, jijini Kigali, Rwanda. Mchezo huo uliokuwa hitimisho la Siku ya Rayon Sports #RayonSportsDay , umeshuhudia wenyeji wakitangulia kwa goli la kujifunga kupitia kwa Aziz Andambwile. Yanga walicharuka na kupiga mabao matatu kupitia kwa Andy Boyeli, Pacome Zouzoua, na Bakari Mwamnyeto.



Kocha Msaidizi Simba SC, Matola atoa ratiba ya kikosi hicho, Abel afichua siri ya kambi
Kocha Msaidizi Simba SC, Matola atoa ratiba ya kikosi hicho, Abel afichua siri ya kambi

KUTOKA ISMAILIA: “Mwaka jana Fadlu alikuwa ni mgeni lakini mwaka huu ameshakuwa mwenyeji na ameshajua karibu wachezaji wote” Kocha msaidizi wa Simba SC, Selemani Matola amesema ushindani ni mkubwa ndani ya kikosi hicho kwasababu kila mchezaji anataka kuonesha uwezo wake. Matola pia ametoa ratiba ya kikosi hicho watakapofika jijini Cairo. Mchezaji Saleh Karabaka anasema kuingia kwenye maji yenye barafu ni shughuli nzito kwake, ni lazima pawepo watu watatu kumshika. Wachezaji wengine waliozungumzia maendeleo ya kambi hiyo ni pamoja na Bajaber Mohamed, Morice Abraham pamoja na Hussein Abel ambaye amefichua namna wachezaji ‘walivyoamka’ kambini. #Simba