Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally Atolea Ufafanuzi kuhusu kumuacha Mlinzi wao wa kati Pascal Serge Wawa,Bernard Morrison kunyiwa Barua ya Kuachiwa Huru(Release Letter)na Simba Sc ili Aweze kucheza Michuano ya CAF, Usajili wa Wachezaji wapya Simba Sc, Tetesi za Usajili wa Mchezaji Raia wa Nigeria Victor Patrick Akpan anayecheza Coastal Union ya Tanga n.k #mpenjatv #yangasc #simbasc #ahmedally
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.
Leo May 08,2024 katika uwanja wa Azam complex kutachezwa mchezo mmoja wa NBC PREMIER LEAGUE ambao utazikutanisha Yanga SC dhidi ya Kagera Sugar