ALLY KAMWE" KILA NCHI TUNAYOFIKA WANAMFAHAMU MAYELE/KILA DAKIKA 90 KWENYE MICHUANO HII INAFUNZO. by @Mpenja TV - Post Details

ALLY KAMWE" KILA NCHI TUNAYOFIKA WANAMFAHAMU MAYELE/KILA DAKIKA 90 KWENYE MICHUANO HII INAFUNZO.

Yanga SC wamewasili Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere wakitokea Nchini Mali,ambapo Siku ya Jumapili ya Januari 26 walicheza Mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya Makundi dhidi AS Real Bamako,Mchezo uliyokwisha kwa Sare ya 1-1.

Similar Posts!