Leo Desemba 31, ni funga mwaka 2021, Mpenja TV ipo uwanja wa Benjamin Mkapa kukuletea Habari zote moto moto za mchezo wa mwisho wa ligi kuu ya NBC kwa mwaka 2021 kati ya Vinara Yanga SC na Walima Zabibu, Dodoma Jiji FC. Mpenja Tv tumefanya mahojiano na Golikipa wa Dodoma Jiji Hussein Salum Masalanga ambaye amefunguka kiwango alichokionyesha Mayele na Aucho msikie hapa.. #YangaSCVsDodomaJiji #Yanga #DodomaJijiFC #FungaMwaka2021 #NBCPremierLeague #MpenjaTV
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com