Leo Desemba 31, ni funga mwaka 2021, Mpenja TV ipo uwanja wa Benjamin Mkapa kukuletea Habari zote moto moto za mchezo wa mwisho wa ligi kuu ya NBC kwa mwaka 2021 kati ya Vinara Yanga SC na Walima Zabibu, Dodoma Jiji FC. Mpenja Tv tumefanya mahojiano na Golikipa wa Dodoma Jiji Hussein Salum Masalanga ambaye amefunguka kiwango alichokionyesha Mayele na Aucho msikie hapa.. #YangaSCVsDodomaJiji #Yanga #DodomaJijiFC #FungaMwaka2021 #NBCPremierLeague #MpenjaTV
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.