Leo April 17, Unapigwa Mchezo Wa Mkondo Wa Kwanza Wa Robo Fainali Kombe la Shirikisho Barani Afrika Baina ya Simba SC Dhidi ya Orlando Pirates Ya Afrika Kusini Mchezo Unaopigwa Katika Uwanja Wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam Majira ya Saa 19:00 Usiku Mpenja TV Tumeshafika Dimba la Benjamin Mkapa Kukusogezea Kila Nukta ya Jambo Linalochomoza Kutoka Hapa #MpenjaTV #SimbaSC #OrlandoPirates #SimbavsOrlando #CAFCC #Robofainali #BarakaMpenja