Kikosi cha Simba SC kimeondoka nchini jana jioni Februari 18 kuelekea Niger kuwakabili wapinzani wao katika kombe la Shirikisho barani Afrika Gendarmerie. Mchezo wa kwanza, Gendarmerie walipoteza ugenini kwa kufungwa magoli 5-3 dhidi ya RS Berkane ya Morocco, huku Simba Sc wakiibuka na Ushindi nyumbani wa 3-1 mbele ya Asec Mimosas ya Ivory Coast. Mpenja Tv tumekuletea Uchambuzi wa Viwango kuwahusu wapinzani wa Simba Us Gendarmerie ambao umefanywa na Mchambuzi Boraa kabisa wa Soka la Afrika Gharib Mzinga Fungua Video Hii kupataa habari kamili…. #SimbaSC #USGendarmerieVsSimba #CAFCC #MpenjaTV
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com