Leo Disemba 2,2023 inapigwa Mitanange miwili ya ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi,ambapo katika Dimba la Benjamin Mkapa Yanga SC inawaalika Al Ahly kutoka Misri,Saa 1 Usiku na Simba SC atakuwa Botswana kumenyana na Jwaneng Galaxy,Saa 10 jioni.