Mchambuzi wa mpira wa miguu nchini kupitia kituo Cha Azam Tv Ali Mayay Tembele amezungumza baada ya dirisha la usajili kufungwa na kusema Nini kilimvutia zaidi katika dirisha hili. Amegusia pia uchambuzi wa timu ya Taifa ya Tanzania kwenye mchezo dhidi ya Uganda kwenye michuano ya kufuzu CHAN
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com