Kuelekea Mchezo Wa Mkondo Wa Kwanza Wa Robo Fainali Kombe la Shirikisho Barani Afrika Baina Baina ya Simba SC Dhidi ya Orlando Pirates Ya Afrika Kusini Mchezo Unaotaraji Kupigwa Jumapili hi Katika Uwanja Wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam Majira ya Saa 19:00 Usiku Mtangazaji Wa Soka Kutoka Azam TV Gharibu Mzinga Ameainisha Udhaifu Wa Orlando Pirates na Kutoa Utabiri Wake Kuelekea Mchezo Huu Mpenja TV Tumefanya Nae Mazungumzo Maalumu kabisa Amefunguka Mengi Sana #MpenjaTV #SimbaSC #OrlandoPirates #SimbavsOrlando #CAFCC #Robofainali #GharibuMzinga #BarakaMpenja
Leo June 15,2024 Klabu ya Yanga inazindua Kitabu cha Historia yao toka kuanzishwa kwake Februari 11,1935. Uzinduzi huo unafanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Dar es Salaam.
Leo Juni 14 Ally Kamwe,Kibwana,Job, na kamati nzima ya Wape Tabasamu wamezungumza kuelekea Mchezo wa Wape Tabasamu 2024 ambao utapigwa Mkoani Morogoro ukikutanisha Timu Kibwana Dhidi ya Timu Dickson Job kwenye Uwanja wa Jamhuri