Leo Tarehe 14 Februari Klabu ya Yanga Sc ikitokea Nchini Tunisia walipokwenda Kucheza Mechi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Us Monastir tayari wamewasili Dar es salaam, Tanzania. Baada ya Mechi hiyo dhidi ya Monastir Klabu ya Yanga Sc Mwisho wa Juma Hili pia watakuwa na Mechi nyingine dhidi ya Tp Mazembe Hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho.
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com