Baada ya kushuhudia Mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika Tp Mazembe dhidi ya Yanga uliopigwa kwenye ardhi ya Congo leo tarehe 02/04/2023. Ghalib Mzinga "Kilwa Finest" Ametoa Tathmini yake mapema baada ya Mchezo kumalizika, ameeleza Ubora wa Yanga kwenye Mchezo huo na Ubora wa Vikosi vilivyoanza. Aidha Mzinga amechagiza kuwa ameiona Yanga Kikosi cha kwanza dhidi ya Mazembe nyingine.
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com