kutoka Niger, Msemaji wa Simba Sports Club Ahmed Ally amezungumza na Mpenja Tv Mara baada ya kutoa Sare dhidi ya Us Gendarmerie ya Nchini Humo. . Ahmed ameongea na Wanasimba kuwa, kile walichowatuma wamekitimiza. . Na sasa Simba wanakwenda kuchanga Karata Yao nyingine dhidi ya RS Berkane ya Morocco. . Fungua Video hii kupata undani wa habari hii. #MpenjaTv
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com