MO DEWJI ATANGAZA KUJIUZULU SIMBA SC by @KidaniStars - Post Details

MO DEWJI ATANGAZA KUJIUZULU SIMBA SC

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars SIMANZI na hali ya sintofahamu imeanza kuingia pale Msimbazi. Ndio, Simba imepoteza taji la kwanza msimu huu baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 mbele ya Mtibwa Sugar, katika fainali ya Kombe la Mapinduzi. Mchezo huo umepigwa jana usiku kwenye Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar, ambapo Simba ikiwa na mastaa wake tegemeo ilionekana kuzidiwa kila idara na Mtibwa Sugar, ambao waliingia fainali baada ya kuichapa Yanga kwa mikwaju ya penati huku Simba nayo ikiwaondoa mabingwa watetezi, Azam FC. Hata hivyo, wakati mashabiki na wapenzi wa Simba wakiugulia maumivu kwa kipigo hicho, mambo yamezidi kuharibika zaidi baada ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo, Mohammed Dewji (Mo) kutangaza kuachia ngazi kutokana na kutoridhishwa na matokeo hayo. Katika taarifa yake kupitia ukurasa wake wa Twitter muda mfupi baada ya kumalizika kwa mchezo huo, Mo alisema: “Baada ya kulipa mishahara inayofikia Sh4 bilioni kwa mwaka, najiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi. Nitabaki kuwa mwekezaji na nitazingatia kukuza miundombinu ya soka la vijana.” Mtibwa ambao walionekana kucheza soka safi na kumiliki mchezo huo, ilipata bao lake la ushindi dakika ya 38 kupitia kwa Awadh Salum, ambaye alipenya katikati ya msitu wa walinzi wa Simba. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars

Similar Posts!

UTASHANGAA!! ZOU WA YANGA AIBUA MAPYA KWA WACHEZAJI!
UTASHANGAA!! ZOU WA YANGA AIBUA MAPYA KWA WACHEZAJI!

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV



ALICHOKISEMA SKUDU WA YANGA BAADA YA KUWAFUNGA KAIZER CHIEF
ALICHOKISEMA SKUDU WA YANGA BAADA YA KUWAFUNGA KAIZER CHIEF

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Mchezo wa kilele cha Wiki ya Mwananchi kati ya wenyeji Young Africans SC dhidi ya vigogo ...



SIKIA TAMBO ZA RAGE WA SIMBA HOROYA KUPIGWA BAO 7, TUMETINGA ROBO FAINALI
SIKIA TAMBO ZA RAGE WA SIMBA HOROYA KUPIGWA BAO 7, TUMETINGA ROBO FAINALI

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: ...



MAZEMBE WAIGOMEA YANGA KUPANDA BASI PRIVADINHO AWAKA TUTAWAONYESHA UWANJANI
MAZEMBE WAIGOMEA YANGA KUPANDA BASI PRIVADINHO AWAKA TUTAWAONYESHA UWANJANI

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV



RAJA CASABLANCA WATUA DAR KIBABE MECHI YA KIBABE DHIDI SIMBA
RAJA CASABLANCA WATUA DAR KIBABE MECHI YA KIBABE DHIDI SIMBA

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: ...



MANGUNGU KWA MARA YA KWANZA " HII NDIO SIMBA TUTABEBA UBINGWA"
MANGUNGU KWA MARA YA KWANZA " HII NDIO SIMBA TUTABEBA UBINGWA"

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika ...



SIKIA MAPOVU YA AHMED ALLY ATAMBA NA GOLI LA SAKHO "NDIO BORA MSIMU HUU"
SIKIA MAPOVU YA AHMED ALLY ATAMBA NA GOLI LA SAKHO "NDIO BORA MSIMU HUU"

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika ...