BARAKA MPENJA AKOSHWA NA USAJILI WA MKUDE YANGA/"SITASAHAU TUKIO HILI AKIWA SIMBA/ANAJUA MPIRA" by @Mpenja TV - Post Details

BARAKA MPENJA AKOSHWA NA USAJILI WA MKUDE YANGA/"SITASAHAU TUKIO HILI AKIWA SIMBA/ANAJUA MPIRA"

Baada ya miaka 13 ya kuwatumikia Simba Sc Jonas Mkude rasmi ametaganzwa na Young Africans kuwa Nyota wao mpya. Mwamba wa umalila Baraka Mpenja ametupa uzoefu wake juu ya Jonas Mkude, nafasi ya ushindani kwenye Kikosi cha Yanga je ataweza kuingia kwenye Kikosi? Baraka ameeleza moja ya tukio kubwa ambalo hatolisahau kumhusu Mkude na Mechi ambayo Jonas alicheza kwa Kiwango kikubwa huku Baraka Mpenja akiwa anatangaza Mechi hiyo.

Similar Posts!