KAMWE AITEKA DODOMA/BALAA LA NYAMA CHOMA/"TUMEPANDA MABASI/SISI NDIO WANANCHI". by @Mpenja TV - Post Details

KAMWE AITEKA DODOMA/BALAA LA NYAMA CHOMA/"TUMEPANDA MABASI/SISI NDIO WANANCHI".

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ally Kamwe ametua Dodoma na kulakiwa na Mashabiki wa Yanga. Safari ya kuelekea Rwanda kituo cha kwanza kupumzika baada ya kuanzia Dar Es Salaam ni Dodoma ambapo Semaji la Wananchi amepata Nyama Choma pamoja na Mashabiki wa Yanga. Pia ameeleza namna Safari ilivyo mpaka sasa na kituo kinachofuata kwa mapumziko ni Kahama kisha kuitafuta Kigali Rwanda.

Similar Posts!