Sehemu ya pili ya Mahojiano na Ramadhan Mbwaduke ambapo humu ametueleza kiufundi kuhusu Kundi la Simba SC kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Aidha amefafanua kuhusu uhatari wa safu ya Ushambuliaji ya Simba ukilinganisha na Timu wanazokwenda kumenyana nazo kunako Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.