Leo Machi 30,2024 Katika Dimba la Benjamin Mkapa inapigwa mbungi ya mkondo wa kwanza ya ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga SC na Mamelodi Sundowns kutoka Afrika Kusini,Saa 3:00 usiku.
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe, amezungumza na Mpenja TV na kuelezea Mipango ya Timu yake kuelekea katika Mchezo wa CRDB Federation Cup Dhidi ya Dhidi ya Tabora United Mchezo ambao utachezwa May 1,2024 katika uwanja wa Azam Complex Pia Ally Kamwe amegusia kuhusu tetesi za Mchezaji wao Pacome Zouzoua na kuweka wazi kinachoendelea mpaka sasa.