Dream Online Tv's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Highlights

Uchambuzi Wa Clouds Fm ,Mchezo Wa Simba Na Mwadui |Kesho Yanga Anaondolewa Na Tanzania Prison Taifa?
Uchambuzi Wa Clouds Fm ,Mchezo Wa Simba Na Mwadui |Kesho Yanga Anaondolewa Na Tanzania Prison Taifa?

Uchambuzi Wa Clouds Fm ,Mchezo Wa Simba Na Mwadui |"Kesho Yanga Anaondolewa Na Tanzania Prison Taifa"



Magoli Yote :Simba Sc 2-1 Mwadui Fc |Goals &Highlights|Kahata Na chama Ni Moto Taifa.
Magoli Yote :Simba Sc 2-1 Mwadui Fc |Goals &Highlights|Kahata Na chama Ni Moto Taifa.

FRANCIS Kahata, kiungo wa Simba leo amewainua mashabiki wa Simba kwa kufunga bao la ushindi lililowapeleka hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho mbele ya Mwadui FC, Uwanja wa Taifa wakati Simba ikishinda mabao 2-1. Mchezo wa leo ulikuwa ni wa kisasi kwa Simba baada ya kuchapwa bao 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara na bao lilifungwa na Mdamu ambaye leo amefunga pia bao kwa Mwadui. Mwadui FC ilianza kufunga bao la kwanza dakika ya 34 kupitia kwa Gerald Mdamu dakika ya 34 akimalizia pasi ya Ludovick. Bao pekee la kuweka mzani kwa Simba lilifungwa na Clatous Chama akiwa nje ya 18 dakika ya 45+2. Kipindi cha pili Simba walifanya mashambulizi ya kutafuta bao la ushindi sawa na Mwadui na dakika ya 84 ilijiandikia bao la pili la ushindi kupitia kwa Francis Kahata aliyemalizia pasi ya Shomari Kapombe kwa kichwa na kuwanyanyua mashabiki wa Simba. Simba inatinga hatua ya 16 ya kombe la Shirikisho na Mwadui FC inafungasha virago jumla.



SIMBA YATAJA SABABU YA KUIFUNGA MWADUI FC LEO 2 - 1 Kahata Na Chama|Mwadui Wakubali
SIMBA YATAJA SABABU YA KUIFUNGA MWADUI FC LEO 2 - 1 Kahata Na Chama|Mwadui Wakubali

SIMBA YATAJA SABABU YA KUIFUNGA MWADUI FC LEO 2 - 1 Kahata Na Chama|Mwadui Wakubali



Uchambuzi  Simba Dhidi Ya Mwadui ,Kichuya kuanza"itakuwa mechi Nzuri"Simba wanachukua kombe la FA
Uchambuzi Simba Dhidi Ya Mwadui ,Kichuya kuanza"itakuwa mechi Nzuri"Simba wanachukua kombe la FA

Uchambuzi Kikosi Cha Simba Dhidi Ya Mwadui ,Kichuya kuanza"itakuwa mechi Nzuri"Simba wanachukua kombe la AFA



Mechi Ya Simba Vs Mwadui ,Kupigwa Uwanja Wa Taifa  Kesho, Manara Afunguka Kila Kitu!
Mechi Ya Simba Vs Mwadui ,Kupigwa Uwanja Wa Taifa Kesho, Manara Afunguka Kila Kitu!

Mechi Ya Simba Vs Mwadui ,Kupigwa Uwanja Wa Taifa Kesho, Manara Afunguka Kila Kitu!



Kikosi Cha Simba Sc Dhidi Ya Alliance Fc ,Meddie Ndani,Bocco Nje.
Kikosi Cha Simba Sc Dhidi Ya Alliance Fc ,Meddie Ndani,Bocco Nje.

#kikosichasimba #alliencevssimba Kikosi Cha Simba Sc Dhidi Ya Alliance Fc ,Meddie Ndani,Bocco Nje.




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports