Tüm içerikler AI( Yapay Zeka) ile yapılmaktadır. *Yapay Zeka hata yapabilir. Destek olmak için: https://coff.ee/aispor.
Usisahau ku-subscribe, ku-share, ku-comment na ku-like... UFAFANUZI Kuna mahala Mzee wa Data ameteleza kwa kusema kuwa Pyramids wakitwaa ubingwa CAFCL wataongeza pointi 6 katika 42 walizo nazo sasa na kufikisha pointi 48. Usahihi ni kwamba wataongeza pointi 5 tu na kufikisha pointi 47 na siyo 48. Hivyo, Pyramids hawawezi kuiporomosha Simba kutoka nafasi ya 5 waliyopo sasa hata kama watatwaa ubingwa wa CAFCL kwa sababu Simba tayari wana pointi 48 il-hali (wao) Pyramids watatimiza pointi 47 tu endapo watatwaa ubingwa katika fainali yao dhidi ya Mamelodi. By Mhariri - Mbwaduke Stats "Spoti Next Level"
Kocha wa Simba SC, Fadlu Davids, amesema kikosi chake kiko tayari kwa mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco huku akisisitiza kuwa wachezaji wake wameshajifunza kupitia maumivu ya dakika 20 za kwanza kule Morocco. Akizungumza na waandishi wa habari Zanzibar, Fadlu amesema: “Ndiyo, tulikuwa tumejiandaa kikamilifu kwa mechi ya kwanza. Tulikuwa tumepanga kila kitu kiufundi na kimkakati, lakini jambo kubwa zaidi lilikuwa kuwapa wachezaji uzoefu wa dakika zile 20 za mwanzo kwa sababu unaweza kuwa na mpango mzuri lakini hali halisi ya uwanja na mazingira ya fainali huwezi kuifundisha darasani. Lazima waishi nayo, wapitie, na wakue kupitia hilo.” Katika mechi wa kwanza iliyochezwa Morocco, Simba ilikubali kichapo cha mabao 2-0. Hata hivyo, Fadlu anaamini kuwa kikosi chake sasa kiko tayari kwa pambano la marudiano, licha ya mchezo huo kuhamishiwa Zanzibar badala ya uwanja wao wa nyumbani wa Benjamin Mkapa. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
Bu VİDEO SİNİRLERİNİZİ Bozabilir! 😡📸 Bu video, sinirlerinizi bozabilir. Çünkü bu koşucu, dünya şampiyonluğuna sadece birkaç adım uzaklıktaydı. Hayatı boyunca hayalini kurduğu o an bir kaç saniye sonra, gerçek olacaktı. Ama bu kameraman öyle bir hata yaptı ki, belki de sporcunun tüm kariyerini mahvetti. SORUMLULUK REDDİ: Bu bilgiler internetten alınmıştır, doğru olabilir veya olmayabilir, herhangi bir sahte haber yaymak İSTEMİYORUZ. Disclaimer: This information is taken from the internet which may or may not be true we DO NOT want to spread any fake news. The content provided by this channel is meant for EDUCATIONAL PURPOSE only. Copyright Disclaimer:- Under section 107 of copyright Act 1976, allowance is made for FAIR USE for purpose such a criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship and research. Fair use is as permitted by copyright statues that might otherwise be infringing.
Türkiye Sigorta Türkiye Basketbol Ligi'nde Play-Off çeyrek final serilerinde 1. maçları konuştuk. Balıkesir BŞB, Bandırma Bordo BK ...
Önder Özen: Galatasaray finalleri hep iyi oynar. Fenerbahçe tökezledi, Galatasaray hata yapmadı. 2 defa Fenerbahçe ...