Colo Colo hilvanó su noveno triunfo consecutivo en la #LigaDePrimeraMercadoLibre 2026, tras vencer por 2-1 a Unión La Calera de visita en este #MatchdayDomingo de la Fecha 18. El fútbol se ve en Modo Betano. El juego comienza ahora. #Betano. 40% de descuento en los primeros 6 meses* en tu plan mensual para que veas Copa Chile, Liga de Primera, Ascenso y lo mejor de TNT Sports. $8.990/mes los primeros 6 meses* El fútbol tiene descuento #PromoTNTSports _______________________________________ Web → https://www.tntsports.cl/ Facebook → https://www.facebook.com/TNTSportsCL/ Twitter → https://twitter.com/TNTSportsCL Instagram → https://www.instagram.com/tntsportscl/ Twitch → https://www.twitch.tv/tntsportscl SUSCRÍBETE → https://www.youtube.com/tntsportscl
En el Nicolás Chahuán se vivirá un choque de extremos: los cementeros, colistas del torneo, buscan sumar sí o sí con tal de escapar, pero enfrentándose al puntero absoluto del fútbol chileno, que aspira a seguir en racha para dar otro paso a su estrella 35.
#Yangasc #Usajilimpya #TetesizausajilimpyaYangasc Wachezaji wa Yanga Waliosajiliwa Leo 1. Nyota mpya wa Yanga SC, Albert Kangwanda, amemaliza msimu wa 2025/26 kwa kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Zambia (MVP) baada ya kuonyesha kiwango bora katika msimu mzima. Takwimu zake za msimu kwenye michuano yote: Mechi: 32 Magoli: 17 Asisti: 9 Mchezaji Bora wa Ligi (MVP) Timu alizowahi kuchezea: Red Arrows FC Kafue Celtic FC Zanaco FC Kafue Celtic FC HNK Gorica NK Hrvatski Dragovoljac Red Arrows FC Al-Hilal Omdurman Red Arrows FC Spartanii Sportul Red Arrows FC Wananchi, mnaipa alama ngapi usajili wa Albert Kangwanda? Huyu ni Winga fundi sana na anapiga free kick vibaya mno 2. Peter shalulile mshambuliaji wa Namibia na Mamelod Sundown Yanga wamekamilisha usajili wa mshambuliaji wa zamani wa Mamelodi Sundows ,Peter Shalulile (32). Baada ya mazungumzo ya muda mrefu Shalulile amesinya miaka miwili Yanga✅ Yanga wamempa $700,000 (1.8 bilion) kama Sign-on fee. Kipindi ambacho watu wote akili zao zipo kwa Stephane Aziz Ki, viongozi wa Yanga SC wao wakasema hapana-huko tulishapita na mambo yamebadilika! Wakati mnasubiri kuona nani anafuata baada ya Allan Okello (top player kusajiliwa na kuonesha), mabingwa wa nchi wakaona washushe chombo cha viwango vya juu kabisa vya CAF. Hapa hatuongelei mchezaji wa kawaida, naongelea funga kazi Bingwa wa Afrika akiwa na Mamelodi Sundowns, mashine hatari ya kucheka na nyavu, PETER SHALULILE anatua Jangwani🟢🟡 rasmi on a free transfer . Takwimu za Peter Shalulile Mabao ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini (PSL / SAPD): Mabao 112 (mabao 44 akiwa na Highlands Park na mabao 68 akiwa na Mamelodi Sundowns). Mabao ya CAF Champions League: Mabao 15 (yote akiwa na Mamelodi Sundowns, ambapo pia alikuwa mfungaji bora wa mashindano hayo mwaka 2023). Mabao kwenye Mashindano Yote (Klabu): Mabao 153 katika michezo 353 (mabao 49 Highlands Park na mabao 104 Mamelodi Sundowns). 3. Housseine Zakouani Winga kutoka Ufaransa lkn anawakilisha timu ya Taifa ya Comoro ni Winga fundi haswaaa 4. Cheikh Ibrahima Touré ni mshambuliaji mwenye asili ya Senegal na Ufaransa, anayejulikana kwa uwezo wake mkubwa wa kufunga mabao na kuongoza safu ya ushambuliaji. Kabla ya kujiunga na Yanga SC, Touré alikuwa akicheza nchini Saudi Arabia, ambako alikuwa na msimu bora uliomfanya kuwa miongoni mwa washambuliaji waliofanya vizuri. Takwimu zake msimu uliopita: Mechi: 34 Mabao: 20 Asisti: 5 Touré anajiunga na Yanga akiwa na rekodi nzuri na matarajio makubwa ya kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji ya mabingwa hao wa Tanzania. 5. Eric Mwijage Winga kutoka KMC amewahi kupita pia Kagera Sugar amesaini mkataba wa Miaka 2 6. Mohamed Mussa mlinzi wa kati kutoka Mashujaa 7.Juma Abushir Aka Messi wa Chuga kutoka Fountain Gate 8. Hussein Juma Mihambo straika kutoka Mashujaa amewahi kupita jomo 9.Abdulnasir Asa Gamal Mlinzi Winga kutoka Mashujaa 10. Fred ngoma kiungo kutoka Olympic de Club safi Morocco 11. Marco maarufu kama mpemba D Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7.Farid Mussa free agent amejiunga na Coastal Union ya Tanga 8. Celestine Ecua 9. Israel Mwenda amerejea Singida BS 10.Lassine kouma 11. Emmanuel Mwanengo Mkopo ameenda TRA United 12. Shekhan Khamis Mkopo Singida BS Walioongezewa mkataba mpya 1. Yao kouassi 2. Kibwana shomari 3.Salum Abubakari Sure boy 4. Bakari Mwamnyeto 5. Shadrack Boka 6. Denis Nkane Hii ndiyo orodha ya wachezaji 12 wa kigeni wa Yanga SC kuelekea msimu wa 2026/27, huku klabu hiyo ikiendelea kusuka kikosi cha kupambana kwenye mashindano mbalimbali. 🇨🇮 1. Diarra Djigui 🇨🇮 2. Kouassi Yao 🇨🇮 3. Boka Shadrack 🇨🇲 4. Max Nzengeli 🇰🇪 5. Duke Abuya 🇺🇬 6. Allan Okello 🇳🇦 7. Peter Shalulile 🇫🇷 8. Ibrahima Touré 🇿🇲 9. Albert Kangwanda 🇨🇬 10. Fred Ngoma 🇰🇲 11. Housseine Zakouani 🇦🇴 12. Laurindo Depu 13. Pacome Zouzoua Pacome Zouzoua naye yupo nje kutokana na majeraha na taarifa zinaeleza kuwa hatakuwa sehemu ya msimu ujao
Relebohile Mofokeng Penalty🙌🔥for Union Saint-Gilloise vs Club Brugge
🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 𝐒𝐈𝐌𝐁𝐀 𝐒𝐂 𝐈𝐓𝐀𝐂𝐇𝐄𝐙𝐀 𝐍𝐀 𝐓𝐔𝐒𝐊𝐄𝐑 𝐅𝐂 𝐘𝐀 𝐊𝐄𝐍𝐘𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐒𝐈𝐌𝐁𝐀𝐃𝐀𝐘 𝟐𝟎𝟐𝟔! 😍🦁 Simba SC 🇹🇿 rasmi itacheza dhidi ya Tusker 🇰🇪 kwenye sherehe za SimbaDay 2026 na mchezo huo wa kimataifa wa kirafiki utachezwa tarehe 08-08-2026 katika uwanja wa Uhuru. 🔚 Awali Simba walituma ombi la kuialika FC Dynamos ya Zimbabwe 🇿🇼 lakini mpaka sasa klabu hiyo ya Zimbabwe haijatoa majibu na ndipo Simba SC ikabadili maamuzi ya kuialika Tusker ya nchini Kenya ambayo imejibu kwa wakati na kukubali kushiriki mchezo huo. WACHEZAJI WAPYA SIMBA MPAKA SASA : 🇿🇦 Keletso Makgalwa – ametokea Sekhukhune United (Afrika Kusini). 🇮🇶 Ibraheem Jabaar – ametokea Stellenbosch FC (Afrika Kusini). 🇨🇮 Serge Badjo – ametokea USM Alger (Algeria). 🇹🇿 Kelvin Nashon – ametokea Pamba Jiji FC (Tanzania). 🇹🇿 Bakari Msimu – ametokea Coastal Union (Tanzania).
Relebohile Mofokeng take on French heavyweights LOSC Lille With the Bafana Bafana's rising star in coming off the bench in the 80th minute to help secure a 2-1 victory, his flair and tactical awareness were on full display. #RelebohileMofokeng #RelebohileMofokengHighlights #RelebohileMofokengVsLOSCLille Relebohile Mofokeng is a South African professional soccer player who plays as an attacking midfielder or winger for Belgian Pro League club Royale Union Saint-Gilloise and the South Africa national team 🔔TURN ON NOTIFICATIONS TO NEVER MISS AN UPLOAD!🔔 🔔Hit LIKE & SUBSCRIBEhttps://www.youtube.com/c/MPTauComps?... ✔️ Subscribe, Like & Comment for More! ✔️ © MPCompsTau
#Simbasc #wachezajiwapyasimbasc #Ahmedally WACHEZAJI WAPYA WALIOSAJILIWA SIMBA MSIMU HUU 2026/2027 Waliosajiliwa 1. Kaletso Makgalwa Winga kutoka Shekukune 2.Serge Badjo kutoka Ivory Coast Mlinzi wa kati Sababu ni Rushine injury aliyopata fainal dhidi ya Azam CRDB imemfanya atachelewa kurejea uwanjani 3. Ibraheem Jabaar kiungo kutoka Stellenbosch alifanya kazi na Steve Berker 4. Nathaniel chilambo kutoka Azam FC ameshatambulishwa ndiye mrithi wa Kapombe Simba 5. Kelvin Nashon kutoka Singida BS ila alikuwa Kwa Mkopo Pamba Jiji 6.Bakari Msimu kutoka Coastal Union 7. Ismail Mgunda Mshambuliaji kutoka Mashujaa 8.Seleman Mwalimu imeshindikana kusajiliwa mazima kutoka wydad kutokana na wydad kutaka mpunga mrefu ila Simba wamekubaliwa kwenye Mkopo wa msimu mzima hivyo Seleman Mwalimu atasalia tena Simba Kwa Mkopo . Wanatazamwa kwenye kagame cup wakikidhi wanasajiliwa mazima 9. Ibrahim Doumbia Mshambuliaji raia Wa Mali, Ibrahim Doumbia amesaini mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kuongeza miaka miwili baadae katika klabu ya Simba Sc ya Tanzania. Doumbia alikuwa mfungaji Bora wa Ligi ya Mali Msimu ulopita akiwa na mabao 17. Simba hawataki kucheza kamali ya kumpa mkataba wa muda mrefu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, wakihofia akifeli na gharama za kuvunja mkataba. Doumbia msimu uliopita:- 🏆 Mfungaji bora wa Msimu 🏆 Mchezaji bora wa Msimu 🏆 Mchezo bora chipukizi wa Msimu. 🏆 Alikuwepo kwenye kikosi Bora cha msimu. DEAL OFF Ramadhan Chobwedo Winga kutoka TRA United amefeli vipimo vya afya Simba Dili lake limekufa rasmi Mpaka sasa Simba Sports Club imeachana na wachezaji wengi kuelekea msimu ujao. Je ni nani hakustahili kupewa Gudubaiii hapa utaniambia kwenye uwanja wa Comment hapo chini. 1. Chamou Karaboue. 2. Naby Camara. 3. Edwin Balua. 4.Joshua Mutale. 5. Awesu Awesu. 6. Omari Omari. 7. Moussa Camara. 8. Mzamiru Yassin 9. Ladack Chasambi 10. Jonathan Sowah 11. Mohamed Bajaber 12. Salehe Karabaka Mkopo Pamba Jiji 13. Valentino Mashaka Mkopo JKT Tanzania