Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV Follow us on Social Media Platforms Instagram: Crown FM - https://www.instagram.com/crownfmtz/ Crown TV - https://www.instagram.com/crowntvtz/ Twitter (X): CROWN MEDIA SWAHILI: https://twitter.com/CrownMediaTZ CROWN MEDIA ENGLISH: https://twitter.com/CrownMediaEN Facebook: CROWN MEDIA: https://www.facebook.com/profile.php?id=61556920898213&sk=followers TIKTOK: - https://www.tiktok.com/@crownmedialive?lang=en SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: https://www.youtube.com/channel/UCWHlCJN-WTamGWp4E6ZrhsA
DTZ Media β Habari, Michezo, Elimu na Maisha ya Afrika Subscribe kwa taarifa zaidi kila siku! πͺππππππππ Β©2026 Dtz π΄ππ ππ. π¨ππ ππππππ ππππππππ .
Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo leo Juni 11, 2026 amepanda ulingoni Abidjan Nchini Ivory Coast kuwania mkanda wa IBO katika pambano la round 12 dhidi ya Bondia Michel Soro raia wa Ivory Coast na Ufaransa. Mwakinyo katika pambano hilo la round 12 la uzito wa middleweight, amepoteza kwa kupigwa kwa TKO round ya 9 na kufanya pambano hilo kuwa pambano lake la tatu kuwahi kupoteza kwa KO. Hili linakuwa pambano la 4 kwa Hassan Mwakinyo, Moja akipigwa kwa point na matatu kwa KO. Michel Soro leo amepigana pambano lake la 45, amefanikiwa kushinda kwa KO kwa mara ya 28, akipoteza mara 4 na ametoka sare mara 2.
#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079 UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079 YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +25574269207