Content removal request!


HUU NI MTEGO KWA SIMBA PRE SEASON KUTOA DRAW MECHI 2 KAGAME CUP, SIMBA DAY IPO HIVI

๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: ๐’๐ˆ๐Œ๐๐€ ๐’๐‚ ๐ˆ๐“๐€๐‚๐‡๐„๐™๐€ ๐๐€ ๐“๐”๐’๐Š๐„๐‘ ๐…๐‚ ๐˜๐€ ๐Š๐„๐๐˜๐€ ๐Š๐–๐„๐๐˜๐„ ๐’๐ˆ๐Œ๐๐€๐ƒ๐€๐˜ ๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ”! ๐Ÿ˜๐Ÿฆ Simba SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ rasmi itacheza dhidi ya Tusker ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช kwenye sherehe za SimbaDay 2026 na mchezo huo wa kimataifa wa kirafiki utachezwa tarehe 08-08-2026 katika uwanja wa Uhuru. ๐Ÿ”š Awali Simba walituma ombi la kuialika FC Dynamos ya Zimbabwe ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ lakini mpaka sasa klabu hiyo ya Zimbabwe haijatoa majibu na ndipo Simba SC ikabadili maamuzi ya kuialika Tusker ya nchini Kenya ambayo imejibu kwa wakati na kukubali kushiriki mchezo huo. WACHEZAJI WAPYA SIMBA MPAKA SASA : ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Keletso Makgalwa โ€“ ametokea Sekhukhune United (Afrika Kusini). ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ถ Ibraheem Jabaar โ€“ ametokea Stellenbosch FC (Afrika Kusini). ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Serge Badjo โ€“ ametokea USM Alger (Algeria). ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Kelvin Nashon โ€“ ametokea Pamba Jiji FC (Tanzania). ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Bakari Msimu โ€“ ametokea Coastal Union (Tanzania).