Content removal request!


MASHUJAA FC 'KUOGA' PESA KILA GOLI "Kila goli moja litakwenda takribani milioni tano, sita" Omary Gimbi, Katibu Mkuu Chama cha Soka Mkoani Kigoma akizungumzia hamasa walionayo kutoka kwa wadau wa soka mkoani humo kuelekea mchezo wa marudiano wa play-off kati ya Mbeya City dhidi…