SIMBA SC, YANGA SC NA COASTAL UNION WAKABIDHIWA TUZO ZA KIKANUNI by @Millard Ayo - Post Details
SIMBA SC, YANGA SC NA COASTAL UNION WAKABIDHIWA TUZO ZA KIKANUNI
Leo July 7 2022 katika ukumbi wa Johari Rotana jijini Dar es Salaam zimefanyika tuzo za TFF ambapo wachezaji, marefa na timu zilizofanya vizuri kwa maana ya kuwa Bingwa, mshindi wa pili odio wanakabidhiwa tuzo zao.